Wasanii wa Kikundi cha Mehdi Qamoum kutoka Nchini Morocco wakitowa burudani katika viwanja vya Bustani ya Forodhani Jijini Zanzibar wakati wa Onesho la Tamasha la Sauti za Busara Zanzibar, lililofanyika Zanzibar kuazia 13 Feb hadi 16 , 2020. na kushirikisha Vikundi mbalimbali vya Wasanii kutoka Zanzibar na nje ya Zanzibar.
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
M...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment