Wasanii wa Kikundi cha Mehdi Qamoum kutoka Nchini Morocco wakitowa burudani katika viwanja vya Bustani ya Forodhani Jijini Zanzibar wakati wa Onesho la Tamasha la Sauti za Busara Zanzibar, lililofanyika Zanzibar kuazia 13 Feb hadi 16 , 2020. na kushirikisha Vikundi mbalimbali vya Wasanii kutoka Zanzibar na nje ya Zanzibar.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA
MASHARIKI YA KATI
-
*Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa
kiasi kikubwa na vita inayoendelea kati ya Marekani kwa kushirikiana na
Isr...
16 minutes ago
0 Comments