Wasanii wa Kikundi cha Mehdi Qamoum kutoka Nchini Morocco wakitowa burudani katika viwanja vya Bustani ya Forodhani Jijini Zanzibar wakati wa Onesho la Tamasha la Sauti za Busara Zanzibar, lililofanyika Zanzibar kuazia 13 Feb hadi 16 , 2020. na kushirikisha Vikundi mbalimbali vya Wasanii kutoka Zanzibar na nje ya Zanzibar.
MSAFARA WA BAISKELI WA TWENDE BUTIAMA 2025 WAANZA RASMI KUTOKA DAR ES SALAAM
-
Dar es Salaam, Julai 2, 2025
Msafara wa baiskeli wa Twende Butiama mwaka 2025 umeanza rasmi leo jijini
Dar es Salaam, ukiwa na waendesha baiskeli zaidi ya ...
43 minutes ago
No comments:
Post a Comment