Habari za Punde

Wasanii Kutoka Nchini Morocco Wakongwa Nyoyo za Wananchi wa Zanzibar na Wageni Katika Bustani za Forodhani Katika Onesho la Sauti za Busara Zanzibar.

Wasanii wa Kikundi cha Mehdi Qamoum kutoka Nchini Morocco wakitowa burudani katika viwanja vya Bustani ya Forodhani Jijini Zanzibar wakati wa Onesho la Tamasha la Sauti za Busara Zanzibar, lililofanyika Zanzibar kuazia 13 Feb hadi 16 , 2020. na kushirikisha Vikundi mbalimbali vya Wasanii kutoka Zanzibar na nje ya Zanzibar. 





No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.