Habari za Punde

Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Fuoni Hadi Maungani Ukiwa Umeanza Ujenzi huo Kwa Kasi.

Uimarishaji wa miundombinu ya barabara katika maeneo mbalimbali ya Zanzibar na vitongoji vyake, moja ya Mradi wa barabara ya Fuoni hadi Maungani inayyojengwa kwa kiwango cha lami.

Ujunzi wake ukianzia katika eneo la Fuoni kwa uwekaji wa kifusi kama inavyoonekana pichani ikiwa katika hatua ya mwabnzo ya uwekaji wa kifusi na kumalizia kwa lami.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.