Kamishna wa Operesheni na Mafunzo
ya Jeshi La Polisi CP Liberatus Sabas, akiteta jambo na Mzee Abdul mkazi wa Kijiji
cha Ndondo wilayani Nyasa mkoani Ruvuma wakati akiendelea na Operesheni ya
ukaguzi wa mpaka kati ya Tanzania na
Msumbiji.
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo
ya Jeshi La Polisi CP Liberatus Sabas, akiwa na Mkuu wa Operesheni Maalum za
Jeshi la Polisi SACP Mihayo Msikhela pamoja na maofisa, wakaguzi na askari
wakikagua njia inayotumiwa na wananchi wa Msumbiji kuingia Nchini bila yakuwa
na vibali maalum.
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo
ya Jeshi La Polisi CP Liberatus Sabas, akiwa na Mkuu wa Operesheni Maalum za
Jeshi la Polisi SACP Mihayo Msikhela pamoja na Maofisa, Wakaguzi na Askari wa
vyeo mbalimbali kwaajili ya kukagua moja ya kipenyo kisicho rasmi cha mto Chiwindi
wilayani Nyasa mkoani Ruvuma kinachounganisha Tanzania na Msumbiji
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi La
Polisi CP Liberatus Sabas wa pili kutoka kulia na wa watu toka kulia ni Mkuu wa
Mkoa wa Lindi Mheshimiwa Godfrey Wetson Zambi, wakiwa katika picha ya pamoja na
maofisa wa Jeshi la Polisi baada ya kumalizika kikao mapema jana.
(Picha na
Jeshi la Polisi)
No comments:
Post a Comment