Maofisa wa Afya Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja wakiwapima Joto la Mwili kwa wananchi wanaoingia katika Mkoa wa Kusini Unguja ili kujikinga na maambukizo ya Ugonjwa wa Corona, wanaotoka nje ya Mkoa huo kama walivyokutwa na Kamera yake wakiwa katika zoezi hilo katika eneo la Mwera.
NAIBU WAZIRI UMMY AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUGHARAMIA MAZISHI WALIOFARIKI
SAME
-
Na Mwandishi Wetu - KILIMANJARO
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy
Nderiananga amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano ...
34 minutes ago
No comments:
Post a Comment