Maofisa wa Afya Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja wakiwapima Joto la Mwili kwa wananchi wanaoingia katika Mkoa wa Kusini Unguja ili kujikinga na maambukizo ya Ugonjwa wa Corona, wanaotoka nje ya Mkoa huo kama walivyokutwa na Kamera yake wakiwa katika zoezi hilo katika eneo la Mwera.
WANAOSAFIRISHA MAZAO KINYUME CHA SHERIA KUWAJIBISHWA– COPRA
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeonya vikali
wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya kilimo bi...
17 minutes ago
No comments:
Post a Comment