Maofisa wa Afya Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja wakiwapima Joto la Mwili kwa wananchi wanaoingia katika Mkoa wa Kusini Unguja ili kujikinga na maambukizo ya Ugonjwa wa Corona, wanaotoka nje ya Mkoa huo kama walivyokutwa na Kamera yake wakiwa katika zoezi hilo katika eneo la Mwera.
TOGABE MILLS, KISHINDO CHA MAMA WATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO
RUFIJI
-
WANACHAMA wa Kishindo cha Mama kwa kushirikiana na TOGABE Mills watoa
Msaada kwa waathirika wa Mafuriko Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani.
Wametoa misaada mb...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment