BIASHARA ya Samaki katika mwezi mtukufu wa Ramadhani imekuwa ni mashuhuri kwa ajili ya kupata kitoeleo cha Futari, pichani baadhi ya wananchi wa Chake Chake wakinunua samaki kwa mmoja wa wachuuzi.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)
BALOZI DK.NCHIMBI AMWAKILISHA RAIS SAMIA KUMUAGA HAYATI SONGAMBELE MKOANI
RUVUMA
-
Na Mwandishi Wetu,Songea
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi, amemwakilisha Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa ,D...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment