Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitia saini kitabu cha kumbukumbu ya maombolezo nyumbani kwa marehemu Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi wakati alipofika nyumbani kwa marehemu Nkurunziza Jijini Bujumbura Nchini Burundi jana jioni kwa ajili ya kuitembelea na kuifariji familia akiwemo mjane na watoto wa marehemu ambapo amemuomba Mwenyezi Mungu kuwapa uvumilivu na kuwa na subira katika kipindi hiki cha maombolezo.
TANESCO Yatoa Wito kwa Wananchi Kulinda Miundombinu ya Umeme wa Gridi ya
Taifa
-
Msimamizi wa Msongo wa Kilovoti 220 kwa mikoa ya Njombe na Ruvuma Mhandis
Liberatus Juma, , amewataka wananchi kutofanya shughuli za kibinadamu
karibu na m...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment