Mchezaji wa Timu ya Kipanga na Jangombe Boys wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana 0-0.
KAMPUNI YA ELVOMI YASHIRIKI MAONESHO YA WANAWAKE DAR, YAWAASA WANANCHI KUTUMIA VIPODOZI VYENYE UBORA KWA AFYA YA NGOZI
-
*Afisa Mauzo Msaidizi kutoka kampuni ya Elvomi, Suzan Winnes akiwa na
Mafuta ya Nazi ya Mgano.*
Baadhi ya bidhaa za Elvomi zilizo katika *Maonesho ya Viwan...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment