Mchezaji wa Timu ya Kipanga na Jangombe Boys wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana 0-0.
uzinduzi wa Muongozo wa Kitaifa wa Stadi za Maisha Kwa Vijana walio nje ya
Skuli Zanzibar
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Ndugu Fatma
Hamad Rajab amezitaka Taasisi na Wadau mbali mbali wa Maendeleo ya Vijana
kutoa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment