Mchezaji wa Timu ya Kipanga na Jangombe Boys wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana 0-0.
HALOPESA YAGUSA FAMILIA ZAIDI YA 60 KUELEKEA SIKUKUU YA EID (KIBAHA, PWANI)
-
Katika kuadhimisha Sikukuu ya Eid El Fitr, HaloPesa imeendesha zoezi maalum
la kijamii (CSR) kwa kutoa msaada wa mahitaji muhimu kwa familia zaidi ya
...
10 hours ago
0 Comments