Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi na Wananchi wa kijiji cha Vikindu Wilaya ya Mkuranga alipokuwa njiani akielekea Mkuranga kwenye Kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM leo Septemba 07,2020. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Bima ya AfyaPass kutoka VodaBima Yarahisisha Upatikanaji wa Huduma za Afya
-
Mwamko mdogo wa Watanzania kuhusu bima ya afya ni mojawapo ya changamoto
katika kutoa huduma bora za afya kwa wote kutokana na idadi ndogo ya
Watanzania we...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment