Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi na Wananchi wa kijiji cha Vikindu Wilaya ya Mkuranga alipokuwa njiani akielekea Mkuranga kwenye Kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM leo Septemba 07,2020. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
TFS WATOA MWITO KWA WADAU NA WANANCHI KUWEKEZA KWENYE MISITU YA SERIKALI, YATOA NENO KUHUSU KISARAWE USHOROBA FESTIVAL
-
*Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo akichana mfuko uliowekewa mche
wa mti kabla ya kuupanda , leo Machi 6,2021 katika eneo la nje ya geti la
Hifa...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment