Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi na Wananchi kijiji cha Kitama kata ya Mihuta alipokuwa njiani kuelekea Tandahimba Mkoani Mtwara kwa ajili ya kuhutubia Mkutano wa Kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM leo Septemba 11,2020.
HOSPITALI YAZINDUA GARI LA WAGONJWA LA KISASA.
-
DAR ES-SALAAM:
Hospitali ya kumbukumbu ya Dr Ole Lengine, Dr Ole Lengine Memorial Hospital
iliyopo Kibamba jijini Dar EsSalaam imezindua gari maalumu ...
5 minutes ago
0 Comments