Habari za Punde

RPC Kusini Pemba azungumza na Wanahabari kupatikana kwa Bunduki ya AK47 pamoja na mwili wa marehemu askari wa vikosi wa SMZ

WAANDISHI wa habari kutoka vyombo mbali mbali vya habari Kisiwani Pemba, wakifuatilia kwa makini taarifa ya mauwaji ya askari wa vikosi vya SMZ, iliyotolewa na kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Pemba Ahmed Makaran (hayupo pichani)ofisini kwake Madungu Polisi.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Kusini Pemba Ahmed Makaran, akiwaonyesha waandishi wa habari kutoka Vyombo mbali mbali vya habari Kisiwani Pemba, bunduki iliyopatikana aina ya AK47 na magazine yake, bunduki ambayo ilitoweka pamoja na marehemu askari wa vikosi 

MKUU wa Upelelezi Mkoa wa Kusini Pemba Richard Tadei Mchomvu, akizungumza na waandishi wa habari juu ya kupatikana kwa bunduki aina ya AK47 iliyopatikana pamoja na mwili wa marehemu askari wa Vikosi vya SMZ aliyekua ameuwawa(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Kusini Pemba Ahmed Khamis makarani, akizungumza na waandishi wa habari kufuatia kupatikana kwa bunduki iliyokua imepotea aina ya AK47 na mwili wa marehemu askari wa vikosi vya SMZ aliekua ameuwawa(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.