Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi Atembelea Mradi wa Ukusanyaji Taka za Mjini Muembemakumbi Jijini Zanzibar na Kuzipeleka Jaa la Kibele.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mratibu wa Mradi wa ZUSP Ndg Makame Ali Makame na Mkurugenzi wa Baraza la Manispa Mjini Ndg Said Juma Hamad alipotembelea Mradi wa Kituo cha ukusanyaji wa taka kutoka Mjini kilichojengwa katika eneo la Muembemakumbi  ikiwa ni Mradi wa ZUSP wakati wa ziara yake ilifanyika leo 9/12/2020.kutembelea Miradi ya ZUSP Zanzibar. 








 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.