Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mratibu wa Mradi wa ZUSP Ndg Makame Ali Makame na Mkurugenzi wa Baraza la Manispa Mjini Ndg Said Juma Hamad alipotembelea Mradi wa Kituo cha ukusanyaji wa taka kutoka Mjini kilichojengwa katika eneo la Muembemakumbi ikiwa ni Mradi wa ZUSP wakati wa ziara yake ilifanyika leo 9/12/2020.kutembelea Miradi ya ZUSP Zanzibar.
TANZANIA KUBEBA SAUTI YA AFRIKA COP30, NISHATI SAFI YAPEWA KIPAUMBELE
-
Mwandishi Wetu, Dodoma.
Tanzania kwa nafasi yake ya Uenyekiti wa Kundi la Majadiliano la Afrika
kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (AGN) itaongoza na kubeba s...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment