Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mratibu wa Mradi wa ZUSP Ndg Makame Ali Makame na Mkurugenzi wa Baraza la Manispa Mjini Ndg Said Juma Hamad alipotembelea Mradi wa Kituo cha ukusanyaji wa taka kutoka Mjini kilichojengwa katika eneo la Muembemakumbi ikiwa ni Mradi wa ZUSP wakati wa ziara yake ilifanyika leo 9/12/2020.kutembelea Miradi ya ZUSP Zanzibar.
SOLWA WAZINDUA KAMPENI KWA KISHINDO! AHMED SALUM ATAKA MAKUNDI YAVUNJWE
-
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Solwa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)Ahmed
Ally Salum akionesha Ilani ya Uchaguzi ya CCM katika Jimbo la Solwa, kulia
ni Mweny...
40 minutes ago
No comments:
Post a Comment