Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi Amezungumza na Viongozi wa CCM Mkoa wa Kusini Pemba.

 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi wa CCM wa Mkoa wa Kusini Pemba wakati wa mkutano wake wa kutoa shukrani kwa Viongozi hao mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya Fisel Castro Wilaya ya Chakechake Pemba leo 17/12/2020.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesisitiza kwamba katika maendeleo ya watu hatokuwa na muhali kwani muhali ndio unaoiathiri Zanzibar.

Rais Dk. Hussein Mwinyi aliyasema hayo leo huko katika ukumbi Fidel-Castro, Wilaya ya Chake Chake, Mkoa wa Kusini Pemba wakati alipokuwa akitoa shukukrani kwa viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Jumuiya zake pamoja na Wazee na Mabalozi wa chama hicho.

Aliwaomba viongozi hao wa CCM pamoja na wananchi wote wa Zanzibar kumvumilia ili achukue maamuzi magumu ili fedha za umma ziweze kuheshimiwa.

Katika maelezo yake, Rais Dk. Mwinyi alieleza kwamba katika uongozi wake wa Urais ndani ya mwezi mmoja na nusu tutayari amegundua kuwepo kwa ufisadi mkubwa jambo ambalo ameahidi kulifanyia kazi.

Aliwaeleza viongozi hao kwamba katika uongozi wake fedha atakazozitafuta hatokubali kuchezewa hata kidogo kwani amegombea nafasi hiyo ya Urais kwa lengo la kuwatumikia wananchi.

Alieleza dhima aliyokuwa nayo kwa Mwenyezi Mungu na kwa wananchi kwa kutekeleza aliyowaahidi na kuwataka viongozi hao kuwa tayari kwa yale yote watakayoyasikia katika kipindi hichi.

Alieleza kuwa katika kipindi hichi cha Kwanza katika uongozi wake lazima afanye maamuzi magumu na wala hana lengo la kutafuta mchawi na wala kufufua makaburi.

Aidha, alieleza kwamba katika miradi yote mikubwa iliyotekelezwa ukiwemo ule wa maendeleo ya Miji (ZUSP) ambao umegharibu Dola za Kimarekani milioni 93, miradi ya maji na miradi mengine ambayo imetumia fedha nyingi lakini matokeo yake hayaridhishi hivyo ni lazima hatua zichukuliwe juu ya ukweli wa fedha hizo.

Aliahidi kuisimamia miradi hiyo ili kuweza kupata thamani ya matumizi ya fedha zilizotumika ambazo ni nyingi na kueleza kwamba katika hatua hiyo wapo watu watakaoguswa.

Aliwaeleza viongozi hao pamoja na wananchi kwamba zile ahadi alizoziahidi katika kipindi cha Kampeni za uchaguzi zitatekelezwa kwa ustadi mkubwa.

Alisema kuwa CCM mara hii imefanya Kampeni ya kisayansi ambayo ni ya aina yake na kupelekea kupata ushindi wa kishindo,

Aliwapongeza viongozi wote wa CCM kisiwani humo kwa ushindi wa kishindo uliopatikana na chama hicho kutokana na kazi kubwa iliyofanywa na viongozi hao, wana chama wa chama hicho pamoja na wananchi.

Alisisitiza kuwa rikodi iliyovunjwa ya ushindi wa kishindo uliopatikana mwaka huu hakika itavunjwa katika uchaguzi ujao wa mwaka 2025 kutokana na utendaji wa kasi utakaotekelezwa chini ya uonhozi wake.

 

Rais Dk. Hussein Mwinyialiwapongezaviongoziwadinizotekwakuhubiri Amani wakatiwotewauchaguzinakupelekeazoezihilokwendavizurinakuletamafanikiomakubwa.

 

AlielezakuwamaendeleoyanchiyoyotehayawezikuaptikanakamaamanihaiponakuelezakuwabaadayauchaguziSerikaliyaUmojawaKitaifaimeundwakwalengo la kuletaumojahasakatikakuletamaendeleokwanikuwepokwamaendeleonilazimawatuwotewaunganenakuwawamoja.

 

AlielezakuwawakatiumefikawakujenganchinakuwatakawanaCCMkukubalianakuwakitukimojanakuondokananamalumbanoyakisiasanabadalayakekuendeleanakazimojatuyakuileteanchimaendeleo.

 

Rais Dk. Hussein MwinyialielezakuwavitabuvyotevyadinivilivyoteremshwanaMwenyeziMunguvimeelezeaumoja, hivyokunakilasababuyakuhimizaumojamingonimwawananachi.

 

AlielezakuwakuwepokwaamanikutapelekeawepesikatikakuletamaendeleonandiomaanawakatiwauchaguzikatikakampenizakealizozifanyaUngujana Pemba alihubiriamani.

 

AlisisitizakwambakazikubwailiyobakihivisasanikutekelezaIlaniyaUchaguziwa CCM yamwaka 2020-2025 sambambanaahadizotealizoziahidiwakatiwaKampenizauchaguzi.

 

Rais Dk. Mwinyialielezadhamirayakeyakutekelezaahadizotealizoziahidikwawananchi.

 

Katikahotubayakehiyokwaviongozihaowa CCM, Rais Dk. MwinyialielezakuwaameundaSerikaliilikuhakikisha wale wotealiowateuawanatekelezavyemamajukumuyao.

 

Sambambanahayo, Rais Dk. Mwinyialiwatakaviongoziwa CCM kuendeleakuendeleakutekelezamajukumuyaoipasavyokwanibadowanadhimayakumsaidianakusimamiayaleyoteanayoyatekeleza.

 

Pia, alitumiafursahiyokuwatakawaandishiwahabarikwendavijijinikutafutachangamotozawananchihukuakielezakuwaWabunge, Wawakilishi, madiwani, Masheanaviongoziwenginenaopiawanadhimayakufanyahivyoilikuwatumikiawananchi.

 

Alielezaazmayakukifanyakisiwa cha Pemba kuwasehemumaalumyauwekezajihukuakiwalelezaviongozihaokwambalengonikuhakikishamaendeleoyoteyanayopatikanaUngujanivyemayakapatikanana Pemba.

 

Alisisitizakwambahatuahiyoyakukifanyakisiwacha Pemba kuwasehemuyauwekezajipia, itasaidiakatikakupataajirakwaniyajayoyanafurahisha.

 

NaeNaibuKatibuMkuuwa CCM Zanzibar AbdallahJumaMabodiakimkaribishaRais Dk. Hussein Mwinyikatikamkutanohuoaliwapongezaviongozihaowa CCM kwakazinzuriwaliyoifanyayakuhakikishawanakipaushindiwakishindochamachao cha CCM kisiwanihumo.

 

MapemawakitoasalamuzaoviongozihaowalimpongezaRais Dk. Hussein Mwinyikwakuwajalinakuwathaminikutokananaziarayakehiyoyakwendakuwapashukuraninakuwapongezakwaushindimkubwawachamachaokiswanihumo.

 

ViongozihaowalielezakuwaushindiuliopatikanamwakahuukatikauchaguzimkuuniwakihistoriahasakatikaMkoawaowaKusini Pemba ambapo CCM imepataushindiwaWadizote  19, WabungeMajimbo 9 UwakilishinaUbungeMajimbo 7 pamoja nakupatanafasineynginezikiwemozavitimaalum.

 

WalipongezahotubayakeyaBaraza la Wawakilishi, hotubaaliyoitoasikualiyowapishaMawaziri pamoja nailehotubaaloyoitoasikuyakuwapishaWakuuwaMikoa.

 

Alipongeaushindialioupatawaasilimia 79.27 ambaotokeakuanzawkamfumowavyamavingihaujawahikupatikanakisiwanihumo.

 

Rais Dk. Hussein Mwinyialipatamapokezimakubwakutokakwaviongozi pamoja nawanaCCMwakisiwani Pemba marabaadayakuwasilikatikauwanjawandegewa Pemba.

 

Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar

Postal Address: 2422 Tel.:0777427449. Fax: 024 2231822 

 E-mail: rajabmkasaba@yahoo.co.uk

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.