Mpiga picha maarufu na mdau wa Utalii Javed Jafferji pia alifika hotgelini hapo kujionea mwenyewe uharibifu uliosababishwa na moto ambae ametujuulisha kwamba wageni wote wameondolewa na kupelekwa hoteli nyengine kuhifadhiwa.
Bado haijajulikana hasara iliyopatikana baada ya kuungua kwa hoteli
Mabaki ya Hoteli yakionekana baada ya kuteketea kwa moto leo hii
No comments:
Post a Comment