Mshambuliaji wa Timu ya Mlandege akimpita beki wa Timu ya Malindi wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi Cup uliofanyika jana usiki Timu hizi zimetoka sare ya bila kufungano.
Beki wa Timu ya Mlandege akimpita mchezaji wa Timu ya Malindi wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi Cup uliofanyika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana mchezo uliofanyika jana usiku.
Mchezaji wa Timu ya Mlandege akijaribu kumpita beki wa Timu ya Malindi wakati wa mchezo wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi Cup mchezo uliofanyika jana usiku katika uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana.
No comments:
Post a Comment