Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe/Dk. Hussein Ali Mwinyi Azungumza na Waandishi wa Habari Mafanikio ya Siku Mia Moja za Uongozi Wake Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waandishi wa Habari na Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari katika mkutano wake, kuzungumzia mafanikio ya Siku Mia Moja za Uongozi wake Zanzibar baada ya kuchaguliwa kuiongoza Zanzibar, mkutano huo uliofanyika leo 9-2-2021 katika ukumbi wa Ikulu jijini Zanzibar.
BAADHI ya Wahariri wa vyombo vya habari wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi,(hayupo pichani) akizungumza katika mkutano wake na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
Mkurugenzi Mkuu wa Channel Ten Jaffar Hanui  kushoto) ( na (kulia) Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa  Kampuni ya Uhuru Media Group ltd Bw. Ernest Sungura, wakifuatilia mkutano wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na Wahariri wa Vyombo vya habari mbalimbali katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar 
MHARIRI Mtendaji wa gazeti la Nipashe Bi. Beatrice Bandawe na Mhariri wa Clouds Media Joyce Shebe. wakifuatilia mkutano wao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupom pichani) akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
BAADHI ya Wahariri wa vyombo vya habari wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi,(hayupo pichani) akizungumza katika mkutano wake na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akifuatilia maswali yakiulizwa na Wahariri na Waandishi wa habari wakati wa mkutano wake na Waandishi uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar 
MWANDISHI wa Habari wa Redio One na ITV Farouk Karim akiuliza swali kuhusiana na utaratibu wa kuajiriwa Wafanyakazi katika Taasisi za Serikali, wakati wa mkutano huo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
MWANDISHI na Mpiga picha wa Gazeti la Nipashe Ndg.Suleiman Mpochi akiuliza swali kuhusiana na uwajibikaji katika Serikali, wakati wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
MWANDISHI Mwandamizi Zanzibar Bw. Salim Said Salim akiuliza swali kuhusiana na ugawaji wa viwanja kwa wakubwa kujilimbikizia katika maeneo mbalimbali na kuachwa wananchi kupatiwa viwanja hivyo, wakati wa mkutano wa Waandishi wa habari na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) Deodatus Balile akiuliza swali wakati wa mkutano wa Wahariri na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
MWANDISHI wa habari wa ZBC TV Ndg. Abubakar Harith akiuliza swali kuhusiana na utaratibu wa ukusanyaji wa mapato ya Serikali na usafi wa maeneo ya Zanzibar, wakati wa mkutano na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) uliowajumuisha Wahariri na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
MWANDISHI wa habari wa Star Tv Ndg. Abdalla Pandu akiuliza swali kuhusiana na ukusanyaji wa mapato kuna baadhi ya taasisi hutoza kwa pesa za kigeni (Dola) wakati wa mkutano wao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
MWANDISHI wa Gazeti la Nipashe Ndg. Sanura akisisitiza jamba wakati akiuliza swali katika mkutano wa Wahariri na Waandishi wa Habari wa vyomba mbalimbali na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
MHARIRI Mtendaji wa Gazeti la Nipashe Bi.Beatrice Bandawe, akiuliza swali wakati wa mkutano huo wa Wahariri na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali, wakati wa mkutano na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisisitiza jambo wakati akijibu na kutowa maelezo ya maswali ya Waandishi wa habari na Wahariri wakati wa mkutano wake kuelezea mafanikio ya Siku Mia Moja za Uongozi wake, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar. 
WAANDISHI wa Habari wa Vyombo mbalimbali vya Zanzibar na Tanzania bara wakifuatilia mkutano wao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
WAANDISHI wa Habari wa Vyombo mbalimbali vya Zanzibar na Tanzania bara wakifuatilia mkutano wao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
WAANDISHI wa Habari wa Vyombo mbalimbali vya Zanzibar na Tanzania bara wakifuatilia mkutano wao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wahariri na Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali baada ya kumaliza mkutano wake uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wahariri na Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali baada ya kumaliza mkutano wake uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.