Habari za Punde

Uongozi wa Benki ya NMB Ukiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa NMB Bi. Ruth Zaipuna Bungeni Kuhudhuria Mkutano wa Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Alihutubia Bunge.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna akifuatilia hutuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akilihutubia Bunge Jijini Dodoma na (kushoto kwake) Afisa Mkuu Wateja na Binafsi na Biashara NMB Bw.Filbert Mponzi. 
Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna akipiga makofi kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, wakati  akilihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jijini Dodoma na (kushoto kwake) Afisa Mkuu Wateja na Binafsi na Biashara NMB Bw.Filbert Mponzi. 
Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna akifuatilia hutuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akilihutubia Bunge la Jahmuri ya Muungano wa Tanzania katika ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma na (kushoto kwake) Afisa Mkuu Wateja Binafsi na Biashara NMB Filbert Mponzi, wakiwa katika ukumbi wa Bunge. wakati wa hafla hiyo iliofanyika 22-4-2021.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna akiwa na Maofisa wa NMB wakipata futari maalum ilioandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, baada ya kumaliza hutuba yake kulihutubia Bunge Jijini Dodoma na (kulia kwake) Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kati. Nsolo Mlozi na (kushoto kwake) Afisa Mkuu Wateja Binafsi na Biashara NMB. Filbert Mponzi, wakiwa katika Viwanja vya Bunge Dodoma wakapata futari.

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.