Habari za Punde

Katibu Mkuu Kadio Afungua Baraza Godo la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio akizungumza wakati akifungua Kikao cha Baraza Dogo la Wafanyakazi wa wizara hiyo kilichofanyika jijini Dodoma ambapo aliwataka kuongeza tija na ufanisi katika majukumu yao ya kila siku ya kuwahudumia wananchi.
Naibu Katibu Mkuu wa TUGHE Taifa , Amani Msuya akichangia mada wakati wa Kikao cha Baraza Dogo la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi lililofanyika jijini Dodoma.Mkurugenzi wa Rasilimaliwatu na Utawala wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Emmanuel Kayuni akizungumza wakati wa Kikao cha Baraza Dogo la Wafanyakazi wa wizara hiyo kilichofanyika jijini Dodoma.
Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Fedha na Usimamizi wa Miradi, Idara ya Huduma kwa Wakimbizi, Jenitha Ndone akizungumza wakati wa Kikao cha Baraza Dogo la Wafanyakazi wa wizara hiyo kilichofanyika jijini Dodoma
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Joseph Ngatunga akizungumza wakati wa Kikao cha Baraza Dogo la Wafanyakazi wa wizara hiyo kilichofanyika jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.