Habari za Punde

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akiwapungia mkono na kuwasalimia  WanaChama wa CCM  alipowasili katika viwanja Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amaan Kichama, akiwa katika ziara yake kuzungumza na Viongozi wa CCM na Mabalozi wa CCM na kutowa shukrani zake kwa Viongozi hao
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa amesimama baada ya kuwasili katika ukumbi wa Amaan CCM Mkoa, akiwa katika ziara yake ya Kichama kuzungumza na Viongozi na Mabalozi wa CCM, na (kushoto kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dr. Abdalla Juma Mabodi na (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Magharibi Kichama Ndg.Mohammed Rajab Soud.
BAADHI ya Viongozi wa CCM Mkoa wa Magharibi Unguja Kichama wakiwa wamesimama wakati Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiwasili katika ukumbi wa mkutano wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amaan, akiwa katika ziara yake kuzungumza na Viongozi na Mabalozi wa CCM na kutowa shukrani zake kwa Viongozi hao
BAADHI ya Mabalozi na Viongozi wa CCM Mkoa wa Magharibi Kichama wakiwa wamesimama wakati Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiwasili katika ukumbi wa mkutano wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amaan Jijini Zanzibar, akiwa katika ziara yake katika Mkoa huo.

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa  ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Katibu wa CCM Mkoa wa Magharibi Kichama Ndg. Mgeni Mussa Haji.(hayupo pichani) akiwasilisha salamu za Mkoa katika mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Amaa Mkoa, akiwa katika ziara yake katika Mkoa huo.


KIONGOZI wa CCM kutoka Jimbo la Bububu Bi. Mwanajuma Mashaka akichangia na kuwasilisha kero zake wakati wa mkutano na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiwa katika ziara yake katika Mkoa wa Magharibi Kichama, mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM  Mkoa Amaan Jijini Zanzibar.
KIONGOZI wa CCM Jimbo la Fuoni Zanzibar Ndg.Juma Mohammed Ahmed akizungumza katika  hafla ya mkutano wa Viongozi na Mabalozi wa CCM wa Mkoa wa Magharibi Kichama, wakati wa ziara ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa  ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amaan Jijini Zanzibar
KIONGOZI wa CCM Jimbo la Welezo Ndg.Ramadhani Ali Juma  akizungumza katika  hafla ya mkutano wa Viongozi na Mabalozi wa CCM wa Mkoa wa Magharibi Kichama, wakati wa ziara ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa  ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amaan Jijini Zanzibar


MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi wa CCM na Mabalozi wa CCM wa Mkoa wa Magharibi Kichama wakati wa ziara yake kuzungumza na Viongozi hao na kutowa shukrani zake, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Afisi ya  Mkoa wa Mjini Amaan Jijini Zanzibar.

VIONGOZI wa CCM na Mabalozi wa CCM wa Mkoa wa Magharibi Unguja Kichana wakimsikiliza Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Tanzania ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na Viongozi hao wakati wa ziara yake na kutowa shukrani kwa Viongozi hao katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amaan Jijini Zanzibar

VIONGOZI wa CCM na Mabalozi wa CCM wa Mkoa wa Magharibi Unguja Kichana wakimsikiliza Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Tanzania ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na Viongozi hao wakati wa ziara yake na kutowa shukrani kwa Viongozi hao katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amaan Jijini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.