Mkuu wa
Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro (kulia) akimvalisha cheo Kamishna
Msaidizi wa Polisi Salum Hamdun kwa niaba ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, baada ya Mhe. Rais kumpandisha cheo kuwa
kamishna wa Jeshi la Polisi. Hafla hiyo imefanyika leo Makao Makuu ndogo ya
Polisi jijini Dar es salaam. Picha na
Jeshi la Polisi
Mkuu wa
Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro akimkabidhi Kamishna wa Polisi CP Salum
Hamdun, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Kitabu cha Muongozo
kinacholiongoza Jeshi la Polisi baada ya kumvalisha Cheo cha Ukamishna kwa
niaba ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu
Hassan, baada ya Mhe. Rais kumpandisha Cheo kuwa Kamishna wa Jeshi la Polisi.
Hafla hiyo imefanyika leo Makao Makuu ndogo ya Polisi jijini Dar es salaam. Picha na Jeshi la Polisi
No comments:
Post a Comment