Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassanakisalimiana na viongozi
mbalimbali mara baada ya kuwasili leo tarehe 22 Juni, 2021 katika uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Maputo nchini Msumbiji kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa
Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika
SADC utakaofanyika kesho tarehe 23 Juni, 2021.
ABSA YACHANGIA MAGEUZI YA UONGOZI WA FEDHA AFRIKA MASHARIKI
-
Dar es Salaam, Mei , 2025 — Benki ya Absa Tanzania imethibitisha kwa mara
nyingine nafasi yake kama mshirika mkuu katika maendeleo ya uongozi wa
kifedha...
16 minutes ago
No comments:
Post a Comment