Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassanakisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili leo tarehe 22 Juni, 2021 katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Maputo nchini Msumbiji kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC utakaofanyika kesho tarehe 23 Juni, 2021.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa Amtakia
Heri ya Kumbukumbu ya Siku ya Kuzaliwa kwa Mzee Malecela
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi Waziri Mkuu Mstaafu, John Malecela
zawadi ya kikombe alipokwenda nyumbani kwa Mheshimiwa Malecela eneo la
Uzung...
9 minutes ago
No comments:
Post a Comment