Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassanakisalimiana na viongozi
mbalimbali mara baada ya kuwasili leo tarehe 22 Juni, 2021 katika uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Maputo nchini Msumbiji kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa
Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika
SADC utakaofanyika kesho tarehe 23 Juni, 2021.
OFISI YA MAKAMU WA RAIS KUTEKELEZA MRADI WA MAZINGIRA BUNDA
-
Ofisi ya Makamu wa Rais inasimamia utekelezaji wa Mradi wa Bunda Climate
Resilience and Adaptation Project katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara ili
kukabili...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment