Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassanakisalimiana na viongozi
mbalimbali mara baada ya kuwasili leo tarehe 22 Juni, 2021 katika uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Maputo nchini Msumbiji kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa
Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika
SADC utakaofanyika kesho tarehe 23 Juni, 2021.
KITUO CHA UMAHILI MLOGANZILA KUIMARISHA HUDUMA ZA MOYO, KINYWA NA MENO
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
UJENZI wa kitengo cha kutoa huduma za kinywa na meno katika Chuo Kikuu cha
Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Kamp...
35 minutes ago


0 Comments