Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassanakisalimiana na viongozi
mbalimbali mara baada ya kuwasili leo tarehe 22 Juni, 2021 katika uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Maputo nchini Msumbiji kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa
Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika
SADC utakaofanyika kesho tarehe 23 Juni, 2021.
Yanga waalikwa Ikulu kwa chakula cha jioni
-
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kesho
tarehe 05 Juni, 2023 ameialika timu ya Dar es Salaam Young Africans (Yanga)
kw...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment