Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassanakisalimiana na viongozi
mbalimbali mara baada ya kuwasili leo tarehe 22 Juni, 2021 katika uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Maputo nchini Msumbiji kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa
Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika
SADC utakaofanyika kesho tarehe 23 Juni, 2021.
Magazeti : Pitia Hapa Vichwa vya Habari vya Magazeti ya Leo; 16:09:2025
-
Magazeti ya Leo
Wazalendo 25 Blog , is a Social Media which gives our Audience current
News, Entertainment and Advertisements.
1 hour ago
No comments:
Post a Comment