WATENDAJI kutoka tume ya Kitaifa ya kuratibu na
udhibiti wa Dawa za kulevya Pemba, pamoja na vijana walioacha kutumia dawa
kulevya kutoka Soba House ya Mkoroshoni, wakifanya usafi katika Hospitali ya
Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, ikiwa ni shamrashamra za maadhimisho ya siku ya
kupiga vita Matumizi na Usafirishaji wa dawa za kulevya Zanzibar, shamrashamra hizo
Pemba zimeanza Juni 20 mwaka huu.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
WANAFUNZI kutoka Chuo cha Afya Pemba, wakifuatilia
kwa makini mafunzo ya siku juu ya athari za matumizi ya dawa za kulevya kwa
jina, ikiwa ni shamrashamra za maadhimisho ya siku ya kupiga vita Matumizi na
Usafirishaji wa dawa za kulevya Zanzibar, shamrashamra hizo Pemba zimeanza Juni
20 mwaka huu.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA)
No comments:
Post a Comment