Habari za Punde

Shamrashamra za maadhimisho ya siku ya kupiga vita Matumizi na Usafirishaji wa dawa za kulevya Zanzibar

WATENDAJI kutoka tume ya Kitaifa ya kuratibu na udhibiti wa Dawa za kulevya Pemba, pamoja na vijana walioacha kutumia dawa kulevya kutoka Soba House ya Mkoroshoni, wakifanya usafi katika Hospitali ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, ikiwa ni shamrashamra za maadhimisho ya siku ya kupiga vita Matumizi na Usafirishaji wa dawa za kulevya Zanzibar, shamrashamra hizo Pemba zimeanza Juni 20 mwaka huu.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


 WANAFUNZI kutoka Chuo cha Afya Pemba, wakifuatilia kwa makini mafunzo ya siku juu ya athari za matumizi ya dawa za kulevya kwa jina, ikiwa ni shamrashamra za maadhimisho ya siku ya kupiga vita Matumizi na Usafirishaji wa dawa za kulevya Zanzibar, shamrashamra hizo Pemba zimeanza Juni 20 mwaka huu.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.