MKURUGENZI Mtendaji
na Mjumbe wa bodi ya wadhamini wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Tanzania Mzee
Joseph Warioba Butiku, akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao cha Mashauriano
ya kubalishana ujuzi, maarifa na weledi wa kiuongozi katika kukuza Demokrasia
ya vyama vingi vya siasa nchini, kikao kilichofanyika Mjini Chake Chake
MKURUGENZI wa
Friedrich Ebert Stiftung(FES)Tanzania Elizabeth Bollrich, akitoa maelezo juu ya
malengo ya taasisi hiyo wakati wa kikao cha Mashauriano ya kubalishana ujuzi,
maarifa na weledi wa kiuongozi katika kukuza Demokrasia ya vyama vingi vya
siasa nchini, kikao kilichofanyika Mjini Chake Chake
NAIBU Mkurugenzi
Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Profesa Francis Matambalya, akiwasilisha
mamba wakati wa kikao cha Mashauriano ya kubalishana ujuzi, maarifa na weledi
wa kiuongozi katika kukuza Demokrasia ya vyama vingi vya siasa nchini, kikao
kilichofanyika Mjini Chake Chake.
AFISA Mdhamini Wizara
ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara maalumu za
SMZ, Thabit Othman Abdalla akichangia mada ya Pili, katika kikao cha
Mashauriano ya kubalishana ujuzi, maarifa na weledi wa kiuongozi katika kukuza
Demokrasia ya vyama vingi vya siasa nchini, kikao kilichofanyika Mjini Chake
Chake
MRAJIS wa Jumuia zisizo za Kiserikali Zanzibar Ahmed Khalid Abdull, akizungumza wakati wam kikao cha Mashauriano ya kubalishana ujuzi, maarifa na weledi wa kiuongozi katika kukuza Demokrasia ya vyama vingi vya siasa nchini, kikao kilichofanyika Mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment