Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka akimpa pole Tumpale Kilasi kwa msiba wa Mume wake aliyekuwa Kada wa CCM Asifiwe Brown Mwanjisi aliyefariki dunia jana Mwakaleli Kandete, Busokelo wilaya ya Rungwe. Shaka alifika kutoa pole akiwa katika siku ya pili ya ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo na Sekretarieti ya CCM mkoani Mbeya leo Julai 12, 2021
Tuzo : NCAA Yajivunia Tuzo ya Kimataifa
-
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) Bw.
Abdul-Razaq Badru kupitia mkutano na Waandishi wa Habari uliofanyika jijini
Ar...
1 minute ago
No comments:
Post a Comment