Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka akimpa pole Tumpale Kilasi kwa msiba wa Mume wake aliyekuwa Kada wa CCM Asifiwe Brown Mwanjisi aliyefariki dunia jana Mwakaleli Kandete, Busokelo wilaya ya Rungwe. Shaka alifika kutoa pole akiwa katika siku ya pili ya ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo na Sekretarieti ya CCM mkoani Mbeya leo Julai 12, 2021
Vodacom yazindua simujanja maalumu itakayosaidia wateja wenye ulemavu
-
Balozi wa Pakistani nchini Siraj Ahmad Khan (kushoto), Mkurugenzi wa
Biashara wa Vodacom Tanzania, Linda Riwa (katikati) na Afisa Mtendaji Mkuu
wa kampun...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment