Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka akimpa pole Tumpale Kilasi kwa msiba wa Mume wake aliyekuwa Kada wa CCM Asifiwe Brown Mwanjisi aliyefariki dunia jana Mwakaleli Kandete, Busokelo wilaya ya Rungwe. Shaka alifika kutoa pole akiwa katika siku ya pili ya ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo na Sekretarieti ya CCM mkoani Mbeya leo Julai 12, 2021
MAGUNIA YA BANGI 731 YAKAMATWA , HEKARI 308 ZATEKETEZWA WILAYANI ARUMERU
-
*Ni kupitia operesheni inayofanywa na DCEA kwa kushirikiana na vyombo vya
ulinzi
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Da...
13 minutes ago
No comments:
Post a Comment