Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka akimpa pole Tumpale Kilasi kwa msiba wa Mume wake aliyekuwa Kada wa CCM Asifiwe Brown Mwanjisi aliyefariki dunia jana Mwakaleli Kandete, Busokelo wilaya ya Rungwe. Shaka alifika kutoa pole akiwa katika siku ya pili ya ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo na Sekretarieti ya CCM mkoani Mbeya leo Julai 12, 2021
TANZANIA KUBEBA SAUTI YA AFRIKA COP30, NISHATI SAFI YAPEWA KIPAUMBELE
-
Mwandishi Wetu, Dodoma.
Tanzania kwa nafasi yake ya Uenyekiti wa Kundi la Majadiliano la Afrika
kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (AGN) itaongoza na kubeba s...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment