Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka akimpa pole Tumpale Kilasi kwa msiba wa Mume wake aliyekuwa Kada wa CCM Asifiwe Brown Mwanjisi aliyefariki dunia jana Mwakaleli Kandete, Busokelo wilaya ya Rungwe. Shaka alifika kutoa pole akiwa katika siku ya pili ya ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo na Sekretarieti ya CCM mkoani Mbeya leo Julai 12, 2021
Michezo : Matukio mbalimbali katika 'CRDB Bank Pamoja Bonanza' ilivyofana Jijini Dodoma
-
Picha Zote na Othman Michuzi, Mtaa Kwa Mtaa Blog
[image: OTMI7868]
[image: OTMI7867]
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tulia Akson ameipong...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment