Habari za Punde

Chuo cha Maendeleo Dunga chaanza kutoa kozi ya Ualimu wa maandalizi na msingi


 CHUO CHA MAENDELEO DUNGA kinawataarifu watu wote kuwa Chuo kimeanza kutoa kozi ya UALIMU wa maandalizi na msingi awali NGAZI YA CHETI kwa MKUPUO wa 2021/2022. Fomu zinapatikana chuoni dunga.

Sifa za kujiunga:-

*Muombaji awe Mtanzania.

*Awe na chetu cha FORM FOUR chenye alama angalau 4.

Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0778695459/0776228888.

Chuo kipo wilaya ya kati Zanzibar.

Bei zetu ni nafuu sana. Karibuni nyote

1 comment:

  1. Chuo chetu kinakuwa na usajili wa mara ngan kwa mwaka

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.