Habari za Punde

MAKAMU WA RAIS AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA MRADI NJIA KUU YA UMEME KIGOMA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiweka jiwe la Msingi la Ujenzi wa kituo cha kupoza umeme wa mradi wa njia kuu ya umeme wa kilo voti 132  unaotoka Tabora kwenda Kigoma katika eneo la Nguruka Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma. 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akisalimiana na viongozi mbalimbali mara alipowasili katika eneo la Nguruka, Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma kuweka jiwe la msingi mradi wa Njia Kuu ya Umeme kutoka Tabora kwenda Kigoma.

MakamuwaRaiswaJamhuriyaMuunganowa Tanzania Dkt. Philip IsdorMpangoAkipokeamaelezoyamradikutokakwaMenejawamradiwaNjiawanjiakuuyakusambazaumemewakilovoti 132 kutokaTabora – Kigoma MhandisiNeemaMushiwakatiwauwekajijiwe la msingi la ujenziwamradihuo.

MakamuwaRaiswaJamhuriyaMuunganowa Tanzania Dkt. Philip IsdorMpangoakizungumzanawananchiwa Kigoma eneo la NgurukaWilayayaUvinzamarabaadayakuwekajiwe la msingi la ujenziwaMradiwanjiakuuyakusambazaumemewakilovoti 132 kutokaTaborakwenda  KigomaJ


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.