Habari za Punde

Vikundi vya vijana vyakabidhiwa vifaa vya uchongaji na uchomaji Micheweni Pemba

MKUU wa WIlaya ya Micheweni Mohamed Mussa Seif (Mkobani) kulia, akizungumza na watendaji kutoka Wilaya ya Wete akiwemo Mkuu wa Wilaya hiyo Mgeni Khatib Yahaya, wakisubiri kukabidhiwa vifaa mbali mbali vya wajasiriamali wa Uchoraji na Uchongaji kutoka Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

BAADHI ya Vifaa vilivyokabidhiwa kwa wakuuu wa Wilaya nne za Pemba,kwa vikundi mbali mbali vya vijana wanaojishuhulisha na Uchongaji na uchomaji, hafla ya makabidhiano iliyofanyika Gombani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

KATIBU Mkuu Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Fatma Hamad Rajab (kushoto), akimkabidhi Vifaa mbali mbali vya Uchongaji na uchomaji Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Mohamed Mussa Seif, kwa ajjili ya Vikundi vya Vijana vya Wilaya hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKUU wa Wilaya ya Micheweni Mohamed Mussa Seif akizungumza na Vijana wa vikundi mbali mbali vya Uchongaji na Uchomaji, Wilaya ya Micheweni baada ya kukabidhiwa vifaa vyao na Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.