MBUNGE wa Viti
Maalumu Wanawake Mkoa wa Kaskazini Pemba Mhe.Asiya Sharif Omar, akizungumza katika
hafla ya maagano ya walimu wakuu waliomaliza muda wao wa utumishi serikalini ,
hafala iliyofanyika katika kituo cha walimu Mitiulaya Wete.
MBUNGE wa Viti
maalumu Wanawake Mkoa wa Kaskazini Pemba Asiya Sharif Omar, akimkabidhi zawadi kwa Mwalimu Mstaafu Bi.Ramla Omar Saleh, ambae amemaliza Utumishi wake serikalini
wakati wa hafla ya maagano iliyofanyika katika kituo cha walimu Mitiulaya Wete
AFISA Mdhamini Wizara
ya Elimu na mafunzo ya Amali Pemba Mohamed Nassor Salim, akimtolewa wasifu wake
juu ya ufanyaji kazi bora na kuhamasisha jamii juu ya suala zima la usafi wa
mazingira Kojani, mwalimu Msaatafu Bakari Issa Omar kutoka Kisiwa cha Kojani,
wakati wa hafla ya maagano iliyofanyika katika kituo cha walimu Mitiulaya Wete
BAADHI ya walimu wakuu wa Skuli za Wilaya ya Wete, wakifuatilia kwa makini hafla ya maagano ya walimu wakuu waliomaliza muda wao wa utumishi Serikalini, hafla iliyofanyika ukumbi wa Walimu Mitiulaya.
#(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment