Habari za Punde

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Majaliwa Azindua Mafunzo ya Uanagenzi Awamu ya Tatu.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Rozalia John wakati alipozindua  Mafunzo ya Uanagenzi Awamu ya Tatu kwenye kiwanja cha Chuo Kikuu cha Sayansi na Tekinolojia  Mbeya, Agosti 2, 2021. Katikati ni Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekinolojia, Profesa, Joyce Ndalichako 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea maonesho wakati alipozindua  Mafunzo ya Uanagenzi Awamu ya Tatu kwenye kiwanja cha Chuo Kikuu cha Sayansi na Tekinolojia  Mbeya
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Tixon Nzunda akizungumza katika uzinduzi  Mafunzo ya Uanagenzi Awamu ya Tatu kwenye kiwanja cha Chuo Kikuu cha Sayansi na Tekinolojia Mbeya
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipozindua Mafunzo ya Uanagenzi Awamu ya Tatu kwenye kiwanja cha Chuo Kikuu cha Sayansi na Tekinolojia  Mbeya, Agosti 2, 2021. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.