RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikagua gwaride maalum la Kikosi cha Jeshi
la Magereza baada ya kupokea salamu ya heshima alipowasili katika viwanja vya
Gereza la Mkono wa Mara Kingolwira Mkoa wa Morogoro, kwa ajili ya ufunguzi wa
Miradi Minne ya Jeshi la Magereza leo 15-10-2021
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Kamishna Jenerali wa Magereza Tanzania
Suleiman M. Mzee (kushoto kwa Rais) na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martin
Shengella na (kulia kwa Rais) Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.
Simbachawene
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Kamishna Jenerali wa Magereza
Tanzania Suleiman M. Mzee (kushoto kwa Rais) na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martin
Shengella na (kulia kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.
Simbachawene
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi na
Mkewe Mama Mariam Mwinyi na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe
Simbachawene,wakimsikilza Mhandisi wa Ujenzi Insp. Thomas Makoye Kazungu
akitowa maelezo ya michoro ya Ujenzi wa Ngome ya Gereza la Mkono wa Mara Kingolwira
Morogoro.kabla ya kuuzindua mradi huo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa kipazia kuuzindua Mradi wa Ujenzi
wa Ngome ya Gereza la Mkono wa Mara Kingolwira Morogoro na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.
George Simbachawene na (kushoto kwa
Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa kipazia kuuzindua Mradi wa Ujenzi
wa Ngome ya Gereza la Mkono wa Mara Kingolwira Morogoro na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.
George Simbachawene na (kushoto kwa
Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakimsikiliza
Kamishna Jenerali wa Magereza Tanzania Suleiman M.Mzee, akitowa maelezo ya Mradi
wa ujenzi wa Ngome ya Gereza la Mkono wa Mara baada ya uzinduzi huo uliofanyika
leo 15-10-2021, katika gereza hilo Kingolwira Mkoani Morogoro
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi na Waziri wa
Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. George Simbachawene, wakitembelea Ngome ya Gereza
la Mkono wa Mara baada ya uzindua Mradi huo leo 15-10-2021 na (kushoto kwa
Rais) Kamishna Jenerali wa Magereza Tanzania Suleiman M.Mzee na Mkuu wa Mkoa wa
Morogoro Mhe. Martin Shegella
No comments:
Post a Comment