Habari za Punde

Tume ya Haki za Binaadamu na Utawala Bora ziarani Zanzibar kujitambulisha, kutaka ushirikiano

Wazri wa Nchi, Afisi ya Rais, Tawala za Mikoa  na Idara Maalum za SMZ Masoud Ali Mohammed akizungumza na Tume ya haki za Binaadamu mara walipofika Ofisini hapo kwaajili ya Kujitambulisha
Mwenyekiti Tume ya Haki za Binaadamu  na Utawala Bora Mathew Mwaimu akimweleza Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Tawala za Mikoa  na Idara Maalum za SMZ Masoud Ali Mohammed  lengo la ujio wao  katika Ofisi hizo .
Mkurugenzi Jumuiya ya Majadiliano ya Vijana (CYD)  Hashim Pondeza akizungumza na Tume ya Haki za Binaadamu mara walipofika Ofisini hapo kwa ajili ya kuwatembelea na kutaka mashirikiano.

 Mwenyekiti Tume ya Haki za Binaadamu na Utawala Bora Mathew Mwaimu akizungumza na Jumuiya ya Majadiliano ya Vijana (CYD) mara alipofika katika Ofisi zao zilizopo Kilimani (Mnara wa Mbao) kwa lengo la kutaka mashirikiano.

PICHA NA FAUZIA MUSSA –MAELEZO ZANZIBAR

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.