Kwa Habari, Picha na Matukio Tembelea ZanziNews
Tangaza nasi kwa bei nafuu (advertise with us ). Tupigie 0777 424152 au tuandikie (email) othmanmaulid@gmail.com
Kiongozi wa TRCS akimkabidhi Cheti mmoja wa mshiriki wa mafunzo ya huduma ya kwanza, mafunzo hayo yametolewa na IFRC kwa wanachama hao na kufanyika Mfikiwa .
WANACHAMA wa TRCS wakifuatilia kwa makini hafla ya kukabidhiwa vyeti vya uhitimu wa mafunzo ya huduma ya kwanza, mafunzo hayo yametolewa na IFRC kwa wanachama hao na kufanyika Mfikiwa.
AFYA YAZIDI KUIMARIKI ZANZIBAR
-
Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui akizungumza na Ujumbe
kutoka Kampuni ya Badea kuhusu mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Rufaa
Mnazimmoja ...
No comments:
Post a Comment