Habari za Punde

Wahitimu ya Mafunzo ya Huduma ya Kwanza Wakabidhiwa Vyeti Pemba.

Kiongozi wa TRCS  akimkabidhi Cheti mmoja wa mshiriki wa mafunzo ya huduma ya kwanza, mafunzo hayo yametolewa na IFRC kwa wanachama hao na kufanyika Mfikiwa .
WANACHAMA wa TRCS wakifuatilia kwa makini hafla ya kukabidhiwa vyeti vya uhitimu wa mafunzo ya huduma ya kwanza, mafunzo hayo yametolewa na IFRC kwa wanachama hao na kufanyika Mfikiwa.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.