Kwa Habari, Picha na Matukio Tembelea ZanziNews Tangaza nasi kwa bei nafuu (advertise with us ). Tupigie 0777 424152 au tuandikie (email) othmanmaulid@gmail.com


Wednesday, November 17, 2021

Mafunzo ya utatuzi wa migogoro ya uchafuzi wa amani yafanyika kisiwani Pemba

VIJANA na Wanawake Kutoka Mkoa wa Kusini Pemba, wakifuatilia kwa makini ufunguzi wa mafunzo ya kujenga uwezo juu ya utatuzi wa migogoro ya uchafuzi wa amani na ujenzi wa amani endelevu katika jamii kabla na baada ya uchaguzi kupitia Jumuiya ya PECEO.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


 AFISA Mdhamini Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara maalumu za SMZ Pemba,Thabit Othman Abdalla akifungua mafunzo ya siku moja kwa Vijana na Wanawake juu ya utatuzi wa migogoro ya uchafuzi wa amani na ujenzi wa amani endelevu katika jamii kabla na baada ya uchaguzi kupitia Jumuiya ya PECEO.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages