Habari za Punde

Mafunzo ya utatuzi wa migogoro ya uchafuzi wa amani yafanyika kisiwani Pemba

VIJANA na Wanawake Kutoka Mkoa wa Kusini Pemba, wakifuatilia kwa makini ufunguzi wa mafunzo ya kujenga uwezo juu ya utatuzi wa migogoro ya uchafuzi wa amani na ujenzi wa amani endelevu katika jamii kabla na baada ya uchaguzi kupitia Jumuiya ya PECEO.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


 AFISA Mdhamini Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara maalumu za SMZ Pemba,Thabit Othman Abdalla akifungua mafunzo ya siku moja kwa Vijana na Wanawake juu ya utatuzi wa migogoro ya uchafuzi wa amani na ujenzi wa amani endelevu katika jamii kabla na baada ya uchaguzi kupitia Jumuiya ya PECEO.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.