Habari za Punde

Taarifa ya Maboresho ya Umeme Mjini

 TAARIFA YA MABORESHO YA UMEME MJINI

Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO) linawatangazia wateja wake kuwa litazima umeme kwa utaratibu ufuatao:-

#Tarehe: 29/12/2021

#Siku: Jumatano 

#Muda: Saa 12:00 Asubuhi hadi saa 3:30 za asubuhi.

#Laini: Mtoni Mpendae, Cortex na Saateni 5&6.

#Sababu: Matengenezo katika kituo cha kusambazia umeme Mtoni Mjini Unguja.

#Maeneo yatakayokosa umeme: 

  *MTONI MPENDAE: Darajabovu, Amani, Mwanakwerekwe, Nyarugusu, Fuoni Mambosasa na Fuonii Chunga.

  *CORTEX: Mtoni, Maruhubi, Chumbuni Mabanda  ya Ng'ombe, Mwembe Makumbi, Kinazini, Kwaalimsha, Kariakoo, Mwembe Shauri, Rahaleo, Michenzani, Kisima Majongoo, Kikwajuni na Kilimani.

   *SAATENI 5: Makadara, Shauri Moyo, Michenzani, Mlandege, Drajani na Ben Bela.

   *SAATENI 6: Kwa Haji Tumbo, Mchangani, na Mbuyu Taifa.

Shirika linaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza.

 

              ..................................................... 

Toa taarifa ya umeme kwa kuwasiliana nasi kituo cha huduma za simu  0772877879.

............tunapatikana..........

#tovuti: https://www.zeco.co.tz

#facebook: ZECOZanzibar 

#twitter: ZECOZanzibar 

#instagram:zecozanzibar

#youtube: ZECOZanzibar

#whatsapp: 0772877879

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.