Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. Philip Mpango pamoja na Mkewe Mama MboniMpaye Mpango wakishiriki
Ibada ya Asubuhi katika Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Patrick iliopo
mtaa wa 11, Lilongwe Nchini Malawi. Januari 11,2022.
TUME YA HAKI ZA BINADAMU (THBUB) YAWATAKA WANASIASA KUWEKA MBELE MASLAHI YA
WATU
-
KAMISHNA wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), ofisi ya
Zanzibar, Mhe. Khatib Mwinyichande, amewasihi wanasiasa kuzingatia zaidi na
kuweka...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment