Afisa Mwandamizi wa Benki ya Watu wa Zanzibar Ltd (PBZ) Ndg.Mohammed akitowa maelezo ya huduma zinazotolewa na PBZ kwa Wananchi waliofika katika banda lao kupata huduma zao wakati wa maonesho ya Biashara kuadhimisha Miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, maonesho yanayofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja.
Wazo Bora Pitch Yatoa TZS Milioni 17 za Mtaji wa Kuanzisha Biashara,
Ikihitimisha Mpango wa Ubunifu Ulioleta Mageuzi
-
Kufuatia tangazo la hivi karibuni kwamba Standard Chartered Bank Tanzania
ilitoa mchango wa USD 11,500 kwa Challenges Worldwide Tanzania ili
kuchochea ukua...
5 hours ago
0 Comments