Habari za Punde

Uzinduzi wa mradi wa uhamasishaji wa upatikanaji wa haki za umiliki wa ardhi kwa wanawake

MRATIBU wa Mradi wa uhamasishaji wa upatikanaji wa haki za umiliki wa Ardhi kwa Wanawake mwaka 2022 Juma Said Ali, akifungua mafunzo ya siku mbili ya kutoa elimu ya umiliki wa ardhi kwa akina mama waliomo katika vikundi vya uzalishaji na vikoba, ili kuweza kutambua hali zao za msingi za kutetea kumiliki ardhi ili waweze kujikomboa na umaskini, mkutano huo umeandaliwa na jumuiya ya PECEO kwa ufadhili wa FCS.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

OFISA usajili Ardhi na utoaji wa hati miliki kutoka Kamisheni ya Ardhi Pemba Yussuf Hamad Kombo, akionyesha Hati ya haki ya matumizi ya ardhi inayotolewa na Kamisheni ya Ardhi Pemba, baada ya mwananchi kukamilisha usajili wa ardhi yake, katika mafunzo ya siku mbili yaliyoandaliwa na Jumuiya ya PECEO kwa ufadhili wa FCS.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

OFISA usajili Ardhi na utoaji wa hati miliki kutoka Kamisheni ya Ardhi Pemba Yussuf Hamad Kombo, akionyesha Hati ya haki ya matumizi ya ardhi inayotolewa na Kamisheni ya Ardhi Pemba, baada ya mwananchi kukamilisha usajili wa ardhi yake, katika mafunzo ya siku mbili yaliyoandaliwa na Jumuiya ya PECEO kwa ufadhili wa FCS.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

WASHIRIKI wa Mafunzo ya siku mbili ya kutoa elimu ya umiliki wa ardhi kwa akina mama waliomo katika vikundi vya uzalishaji na vikoba, ili kuweza kutambua hali zao za msingi za kutetea kumiliki ardhi ili waweze kujikomboa na umaskini, mkutano huo umeandaliwa na jumuiya ya PECEO kwa ufadhili wa FCS.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.