Habari za Punde

Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Kazi, Uchumi Na Uwekezaji atoa taarifa kuhusu mafanikio na mikakati ya Wizara yake katika kuelekea miaka 58 ya Mapinduzi

Mpiga chapa Mkuu wa Serikali Saidi  Mtumwa akiuliza swali kwa Waziri wa Utalii na Mambo ya kale mara baada ya Waziri huyo kuwasilisha taarifa yake  ya mafanikio na utendaji wa Wizara ,kuelekea maadhimisho ya miaka 58 ya Mapinduzi  ya Zanzibar,Huko Ukumbi wa Wizara ya utalii Kikwajuni Zanzibar .

Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Kazi, Uchumi Na Uwekezaji Mudrik Ramadhan Soraga akitoa taarifa kuhusu utekelezaji na mafanikio ya Wiziara yake kuelekea miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar Hukuo Ukumbi wa Wizara ya Utalii Kikwajuni Mjini Zanzibar.
Mkurugenzi Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Hassan  Khatib Hassan akiuliza swali kwa Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Kazi Uchumi Na Uwekezaji Mudrik Ramadhan Soraga mara baada ya Waziri huyo kuwasilisha taarifa yake  ya mafanikio na utendaji wa Wizara ,kuelekea maadhimisho ya miaka 58 ya Mapinduzi  ya Zanzibar,Huko Ukumbi wa Wizara ya utalii Kikwajuni Zanzibar .

 PICHA NA FAUZIA MUSSA –MAELEZO ZANZIBAR.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.