Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa amae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM kabla ya kuza kwa kikao hicho kilichoongozwa na Mwenyekiti wa CCM amae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, kilichofanyika kastika ukumbi wa White House Jijini Dodoma
WAJUMBE wa Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama
Cha cMapinduzi (CCM) wakiwa katika ukumbi wa mkutano jengo la White House
wakipitia makabrasha ya Kikao hicho kabla ya kufunguliwa na Mwenyekiti wa Chama
Cha NMapinduzi ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia
Suluhu Hassan.(hayupo pichani)
WAJUMBE wa Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama
Cha cMapinduzi (CCM) wakiwa katika ukumbi wa mkutano jengo la White House
wakipitia makabrasha ya Kikao hicho kabla ya kufunguliwa na Mwenyekiti wa Chama
Cha NMapinduzi ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia
Suluhu Hassan.(hayupo pichani)
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambae
pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan
akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi kilichofanyika
katika ukumbi wa White House Jijini Dodoma.
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambae
pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan
akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi kilichofanyika
katika ukumbi wa White House Jijini Dodoma
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na
Wajumbe wa Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa,wakimsikiliza
Mwenyekiti wa CCM ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe.Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani) akifungua Kikao hicho kilichofanyika
katika ukumbiu wa White House Jijini Dodoma leo 31-3-2022, na (kulia kwa Rais)
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ambae pia ni Waziri Mkuu
Mhe.Kassim Majaliwa, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Makamu wa Pili wa Rais wa
Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla na Mjumbe wa Kamari Kuu ambae pia ni Spika
wa Bunge la Tanzania Mhe.Dkt.Tulia Ackson
WAJUMBE wa Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama
Cha Mapinduzi wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ambae pia ni Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani)
akifungua Kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa White House Jijini Dodoma
WAJUMBE wa Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama
Cha Mapinduzi wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ambae pia ni Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani)
akifungua Kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa White House Jijini Dodoma WAJUMBE wa Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama
Cha Mapinduzi wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ambae pia ni Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani)
akifungua Kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa White House Jijini Dodoma
No comments:
Post a Comment