Habari za Punde

Matukio ya Picha Kutoka Bungeni Jijini Dodoma.

Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Jimbo la Mvumi, Mhe.Livingstone Lusinde, leo bungeni jijini Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza  na kocha Msaidizi wa Namungo FC, Jamhuri  Kihwelu (Julio) kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI, Ramadhan  Kailima kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na walimu na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Michaud ya Karatu mkoani Arusha kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Mei  23, 2022.  Mstari wa mbele kushoto ni Mbunge wa Viti Maalum, Cecilia Paresso.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.