Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akitoa msaada wa vyakula ikiwemo Mchele, mafuta ya kupikia, Sukari, Mbuzi kwa ajili ya kusherehekea sikukuu ya Eid El-fitr kwa vikundi mbalimbali vya Watoto Yatima na wanaoishi katika mazingira magumu Jijini Dodoma, katika Iftari Ikulu Chamwino.
Wadau Waungana Kuboresha Elimu ya Mtoto wa Kike
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
TAASISI ya HakiElimu Tanzania inaendelea na juhudi mahsusi za kushirikisha
wadau wa elimu nchini ili kuboresha mazingira ya...
11 minutes ago
.jpg)
.jpg)

.jpg)
.jpg)
0 Comments