Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akitoa msaada wa vyakula ikiwemo Mchele, mafuta ya kupikia, Sukari, Mbuzi kwa ajili ya kusherehekea sikukuu ya Eid El-fitr kwa vikundi mbalimbali vya Watoto Yatima na wanaoishi katika mazingira magumu Jijini Dodoma, katika Iftari Ikulu Chamwino.
DC IKUNGI AONGOZA UTATUZI WA MGOGORO YA ARDHI KATA YA PUMA NA DUNG'UNYI
-
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Jerry Muro (kulia) akizungumza na wananchi wakati
wa utatuzi wa mgogoro wa Ardhi baina ya kata mbili za Dung'unyi na Puma
katik...
6 minutes ago
No comments:
Post a Comment