Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Samia Suluhu Hassan akiagana na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango, Waziri Mkuu Mhe. Kassim
Majaliwa pamoja na viongozi mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Julius Nyerere wakati akielekea nchini Uganda kwa Ziara ya Kiserikali ya siku
mbili. Tarehe 10 Mei 2022.
No comments:
Post a Comment