Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid Akizungumza na Mwenyekiti wa Manispaa ya Jiji la Posterdam Nchini Ujerumani Pete Heuer pamoja na Ujumbe wake ambao wapo Zanzibar kwa ajili ya kuadhimisha miaka 5 ya udugu na Baraza la Manispaa Mjini.
BANK OF AFRICA TANZANIA ILIVYOSHIRIKI WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA KITAIFA
-
BANK of Africa Tanzania (BoA) imeshiriki katika maadhimisho ya wiki ya
Huduma ya Kifedha yaliyoandaliwa na Serikali kupitia Wizara ya Fedha na
Mipango ya...
24 minutes ago
0 Comments