Spika BLW akutana na Mwenyekiti wa Manispaa ya Jiji la Posterdam Nchini Ujerumani


Spika wa Baraza la  Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid Akizungumza na Mwenyekiti wa  Manispaa ya Jiji la Posterdam Nchini Ujerumani  Pete Heuer pamoja na  Ujumbe wake   ambao wapo Zanzibar kwa ajili ya kuadhimisha  miaka 5 ya udugu na Baraza la Manispaa Mjini.

Post a Comment

Previous Post Next Post