Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid Akizungumza na Mwenyekiti wa Manispaa ya Jiji la Posterdam Nchini Ujerumani Pete Heuer pamoja na Ujumbe wake ambao wapo Zanzibar kwa ajili ya kuadhimisha miaka 5 ya udugu na Baraza la Manispaa Mjini.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment