Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid Akizungumza na Mwenyekiti wa Manispaa ya Jiji la Posterdam Nchini Ujerumani Pete Heuer pamoja na Ujumbe wake ambao wapo Zanzibar kwa ajili ya kuadhimisha miaka 5 ya udugu na Baraza la Manispaa Mjini.
RC RUVUMA ASHUHUDIA MAKABIDHIANO YA MRADI WA KIHISTORIA WA UJENZI WA CHUO
CHA UHASIBU SONGEA
-
Na Albano Midelo
Mji wa Songea mkoani Ruvuma umeanza kuandika historia mpya ya elimu ya juu
baada ya miongo ya kusubiri Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahm...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment