Habari za Punde

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe.Othman Masoud Ashiriki Zoezi la Sensa ya Watu na Makaazi leo 23-8-2022

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman, akifanyiwa mahojiano na Karani wa Sensa, Bi. Habiba Soud Salim, wakati alipokuwa akihesabiwa katika Makaazi yake yaliyopo Mbweni, Mkoa wa Mjini Magharib Unguja leo tarehe 23 Agosti, 2022 kwenye zoezi la kitaifa la Sensa ya Watu na Makaazi.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman, akifanyiwa mahojiano na Karani wa Sensa, Bi. Habiba Soud Salim, wakati alipokuwa akihesabiwa katika Makaazi yake yaliyopo Mbweni, Mkoa wa Mjini Magharib Unguja leo tarehe 23 Agosti, 2022 kwenye zoezi la kitaifa la Sensa ya Watu na Makaazi.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.