Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Asaini Kitabu cha Maombolezi Kufuatia Kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza

RAIS  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Kaimu Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Mhe.Rick Shearn alipofika katika Ofisi za Ubalozi Oysterbay Jijini Dar es Salaam leo 14-9-2022, kusaini kitabu cha maombolezi kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza
RAIS  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Kaimu Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Mhe.Rick Shearn alipofika katika Ofisi za Ubalozi Oysterbay Jijini Dar es Salaam leo 14-9-2022, kusaini kitabu cha maombolezi kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza
RAIS  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Kaimu Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Mhe.Rick Shearn alipofika katika Ofisi za Ubalozi Oysterbay Jijini Dar es Salaam leo 14-9-2022, kusaini kitabu cha maombolezi kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisaini Kitabu cha maombelezi kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza, alipofika katika Ofisi za Ubalozi wa Uingereza Oysterbay Jijini Dar es Salaam leo 14-9-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akisaini Kitabu cha maombelezi kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza, alipofika katika Ofisi za Ubalozi wa Uingereza Oysterbay Jijini Dar es Salaam leo 14-9-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akisaini Kitabu cha maombelezi kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza, alipofika katika Ofisi za Ubalozi wa Uingereza Oysterbay Jijini Dar es Salaam leo 14-9-2022

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akisaini kitabu cha maombolezi kufuatikia Kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza, alipofika katika Ofisi za Ubalozi wa Uingereza Oysterbay Jijini Dar es Salaam leo 14-9-2022.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Kaimu Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Mhe. Rick Shearn, alipofika Ofisi za Ubalozi wa Uingereza Oysterbay Jijini Dar es Salaam leo 14-9- 2022, kwa ajili ya kusaini Kitabu cha maombolezi kufiatila kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.