RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakiagana
na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, akiondoka
Nchini leo 14-9-2022 Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume
Zanzibar, akielekea Nchini Angola kuhudhuria hafla ya kuapishwa kwa Rais Mteule
wa Jamhuri ya Angola Mhe. Joao Manuel Goncalves Lourenco, kumuwakilisha Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Amani, Utulivu na Mshikamano Inatakiwa Iendelee Kudumu Katika Kipindi Chote
Cha Uchaguzi Mkuu Utaofanyika Oktoba 29 Mwaka Huu -Dkt.Samia
-
NA MWANDISHI WETU
MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya CCM
Dk.Samia Suluhu Hassan amesema amani, utulivu na mshikamano inat...
3 minutes ago
No comments:
Post a Comment