RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakiagana
na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, akiondoka
Nchini leo 14-9-2022 Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume
Zanzibar, akielekea Nchini Angola kuhudhuria hafla ya kuapishwa kwa Rais Mteule
wa Jamhuri ya Angola Mhe. Joao Manuel Goncalves Lourenco, kumuwakilisha Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.
REA YAPONGEZWA KWA KASI YA UTEKELEZAJI MIRADI YA UMEME VITONGOJINI
-
Wananchi wa vitongoji vya Chilimba na Mnayope Kata ya Mnyambe Wilaya ya
Newala Mkoani Mtwara wamepongeza kasi ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza
umeme v...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment