Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Ameondoka Nchini Kuelekea Nchini Angola Kuhudhuria Kuapishwa Kwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Angola

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakiagana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, akiondoka Nchini leo 14-9-2022 Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, akielekea Nchini Angola kuhudhuria hafla ya kuapishwa kwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Angola Mhe. Joao Manuel Goncalves Lourenco, kumuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.