RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakiagana
na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, akiondoka
Nchini leo 14-9-2022 Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume
Zanzibar, akielekea Nchini Angola kuhudhuria hafla ya kuapishwa kwa Rais Mteule
wa Jamhuri ya Angola Mhe. Joao Manuel Goncalves Lourenco, kumuwakilisha Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.
PPRA Yawahimiza Watanzania Kujisajili NEST Kushiriki Zabuni za Serikali
-
Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) imewataka Watanzania
kujisajili katika mfumo wa manunuzi wa kielektroniki wa NEST ili waweze
kunufaika na fu...
45 minutes ago
No comments:
Post a Comment