Beki wa Timu ya Kundemba akijaribu kumzuia mshambuliaji wa Timu ya Zimamoto wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ,mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Unguja.Timu ya Zimamoto imetoka na ushindi wa bao 1-0.
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment