Beki wa Timu ya Kundemba akijaribu kumzuia mshambuliaji wa Timu ya Zimamoto wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ,mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Unguja.Timu ya Zimamoto imetoka na ushindi wa bao 1-0.
GASCO yatumia vifaa vya kisasa kuhakikisha usalama na afya mahala pa kazi
-
Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendego akipata maelezo kutoka Kampuni ya
Temba wa Gas Company Tanzania ( Gasco) Limited wakati alipotembelea Banda
la Kamp...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment