RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waandishi wa Habari na
Wahariri wa vyombo vya habari mbalimbali, wakati wa mkutano wake na Waandishi
kila mwisho wa mwezi uliyofanyika katika
ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 5-11-2022
WAANDISHI wa Habari wa vyombo mbalimbali
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza wakati wa mkutano wake wa kila mwisho wa
mwezi na waandishi, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo
5-11-2022WAANDISHI wa Habari wa vyombo mbalimbali wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza wakati wa mkutano wake wa kila mwisho wa mwezi na waandishi, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 5-11-2022
MWANDISHI wa Habari Nguli Bw. Salim Said Salim akiuliza swali wakati wa mkutano wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Waandishi uliyofanyika leo 5-11-2022 katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
MWANDISHI wa Habari Bw. Salum Vuai akiuliza swali wakati wa mkutano wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Waandishi uliyofanyika leo 5-11-2022 katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
MWANDISHI wa Habari wa Gazeti la Nipashe Bi. Rahma Suleiman akiuliza swali wakati wa mkutano wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Waandishi uliyofanyika leo 5-11-2022 katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
MWANDISHI wa Habari wa Zanzibar Cable TV Bi.Neema Zuberi akiuliza swali wakati wa mkutano wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Waandishi uliyofanyika leo 5-11-2022 katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kujibu maswali ya Waandishi wa Habari, wakati wa mkutano wake na Wahariri na Waandishi wa habari uliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 5-11-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kujibu maswali ya Waandishi wa Habari, wakati wa mkutano wake na Wahariri na Waandishi wa habari uliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 5-11-2022
WAKUU wa Vyombo vya Habari na Waandishi wa Habari
Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na Waandishi katika
ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 5-11-2022.(Picha na Ikulu)
No comments:
Post a Comment