Meneja wa Shirika la Bima la Taifa Kanda ya Zanzibar Ndg.Khamis Msami akimkabidhi Fedha Taslimu shilingi Laki Tano Mchezaji Bora wa Mchezo wa ufunguzi wa Michuano ya 17 Kombe la Mapinduzi Mukrim Juma Madai kwa kuibuka mchezaji Bora wa Mchezo huo wa Ufunguzi kati ya Timu ya Mlandege na KVZ uliofanyika leo nJioni katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.Timu hizo zimetoka sare ya Bao 1--1.
SERIKALI KUANZISHA MFUMO WA PAMOJA KODI YA JENGO NA ARDHI
-
Na. Josephine Majura, WF, Dodoma
Serikali imesema kuwa inaandaa mfumo wa kielektroniki wa kutoa ankara ya
pamoja kwa huduma zinazolandana ili kuondoa us...
1 hour ago
Well done madai
ReplyDelete