Meneja wa Shirika la Bima la Taifa Kanda ya Zanzibar Ndg.Khamis Msami akimkabidhi Fedha Taslimu shilingi Laki Tano Mchezaji Bora wa Mchezo wa ufunguzi wa Michuano ya 17 Kombe la Mapinduzi Mukrim Juma Madai kwa kuibuka mchezaji Bora wa Mchezo huo wa Ufunguzi kati ya Timu ya Mlandege na KVZ uliofanyika leo nJioni katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.Timu hizo zimetoka sare ya Bao 1--1.
GASSHUKU 2025 LA JUNDOKAN TANZANIA LAFANA JIJINI DAR
-
Wanafunzi na wakufunzi wa Jundokan Karate Do Tanzania leo Jumapili, Julai
6, 2025, wameungana katika Gasshuku – yaani semina maalum ya karate –
iliyof...
1 hour ago
Well done madai
ReplyDelete