Meneja wa Shirika la Bima la Taifa Kanda ya Zanzibar Ndg.Khamis Msami akimkabidhi Fedha Taslimu shilingi Laki Tano Mchezaji Bora wa Mchezo wa ufunguzi wa Michuano ya 17 Kombe la Mapinduzi Mukrim Juma Madai kwa kuibuka mchezaji Bora wa Mchezo huo wa Ufunguzi kati ya Timu ya Mlandege na KVZ uliofanyika leo nJioni katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.Timu hizo zimetoka sare ya Bao 1--1.
MATUKIO KATIKA PICHA MANAIBU MAWAZIRI WATETA NA WANAWAKE PEMBA
-
Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi
Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu
(Sera,B...
6 hours ago
Well done madai
ReplyDelete