Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Ali Abdulgulam Hussein akijibu swali namba 37 lililoulizwa na Mhe Abdallah Abass Wadi wakati wa Baraza la kumi la Wawakilishi mkutano wa kumi kikao cha kwanza, huko Chukwani Mkoa wa Mjini Magharib Unguja.
MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR- UFUNGUZI WA TAWI LA CHUO CHA KIST -WETE -
PEMBA
-
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla akikata utepe
kuashiria ufunguzi wa Tawi la Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya
Karume(KIST...
6 minutes ago
No comments:
Post a Comment