Habari za Punde

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Akijibu Maswali ya Wajumbe

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Ali Abdulgulam Hussein akijibu swali namba 37 lililoulizwa na Mhe Abdallah Abass Wadi wakati wa Baraza la kumi la Wawakilishi mkutano wa kumi kikao cha kwanza, huko Chukwani Mkoa wa Mjini Magharib Unguja.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.