Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Ali Abdulgulam Hussein akijibu swali namba 37 lililoulizwa na Mhe Abdallah Abass Wadi wakati wa Baraza la kumi la Wawakilishi mkutano wa kumi kikao cha kwanza, huko Chukwani Mkoa wa Mjini Magharib Unguja.
MRADI WA MAJI BILIONI 119 KUIFAIDISHA RUANGWA - MAJALIWA
-
*Ashiriki kikao cha kutambulisha miaka miwili ya Rais Samia
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inakuja na mradi mkubwa wa
maji wenye thamani ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment