Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Ali Abdulgulam Hussein akijibu swali namba 37 lililoulizwa na Mhe Abdallah Abass Wadi wakati wa Baraza la kumi la Wawakilishi mkutano wa kumi kikao cha kwanza, huko Chukwani Mkoa wa Mjini Magharib Unguja.
WANAOSAFIRISHA MAZAO KINYUME CHA SHERIA KUWAJIBISHWA– COPRA
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeonya vikali
wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya kilimo bi...
40 minutes ago
No comments:
Post a Comment