Habari za Punde

Rais Dk Hussein Mwinyi azungumza na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar, ikiwa ni kawaida yake ya kuzungumza na Waandishi wa habari na Wahariri wa vyombo vya habari kila mwisho wa mwezi, mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 28-2-2023.(Picha na Ikulu)

WAANDISHI wa Habari wa vyombo mbalimbali vya habari vilioko Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza wakati wa mkutano wake wa kila mwisho wa mwezi na Waandishi uliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 28-2-2023.(Picha na Ikulu)

 MWANDISHI wa Habari wa kujitengemea Bw.Ligwa  Paulin akiuliza swali katika mkutano wa Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali vya habari viliopo Zanzibar, na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 28-2-2023.(Picha na Ikulu)

MWANDISHI wa Habari wa Azam TV Bi. Mtumwa Said Nassir, akiuliza swali katika mkutano wa Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali vya habari viliopo Zanzibar, na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 28-2-2023.(Picha na Ikulu)

 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisisitiza jambo wakati wa mkutano wake na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar, ikiwa ni utaratibu wake wa kuzungumza na Waandishi wa habari kila mwisho wa mwezi, mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 28-2-2023.(Picha na Ikulu)
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.